Kiwango cha tisho la ugaidi cha ongezwa kutoka "uwezekano" hadi "kuwezekana"

ANTHONY ALBANESE TERRORISM THREAT LEVEL PRESSER-

Australian Prime Minister Anthony Albanese (left) and ASIO Director-General Mike Burgess speak during a press conference at Parliament House in Canberra, Monday, August 5, 2024. (AAP Image/Lukas Coch) NO ARCHIVING Source: AAP / LUKAS COCH/AAPIMAGE

Get the SBS Audio app

Other ways to listen

Kiwango cha tisho la ugaidi cha Australia kime ongezwa kwa mara ya kwanza katika muongo.


Shirika la ujasusi la taifa limesema hayo ni matokeo ya anuai ya itakadi kali pamoja na ongezeko la vurugu zinazo chochewa na siasa.

Kuna ongezeko ya hofu ya misimamo mikali na itikadi zakidini kote duniani.

Ila, serikali ya Australia sasa inasema hali hiyo imefikia kiwango chako hatarisha usalama wa taifa.

Share