H_art the Band kuhusu tamasha ya Australia

H_art The Band ndani ya studio ya SBS Swahili.jpg

Get the SBS Audio app

Other ways to listen

Kundi la H_art the Band kutoka Kenya, lili kuwa mjini Sydney kwa tamasha yao ya miji 5 mikuu ya Australia.


Wanachama wa H_art the Band, walitembelea studio ya SBS Swahili kwa mahojiano maalum kabla ya tamasha yao jijini Sydney.

Wasanii hao walifunguka kuhusu mapokezi waliyo pata nchini Australia pamoja na maandalizi ya tamasha zao. Tembelea mitandao yao yakijamii kwa taarifa zaidi kuhusu kazi zao.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share