Amedee "tunatoa mafunzo na uelewa kwa yaliyo fanyika Rwanda 1994"

JP Amedee mbele ya bango la onesho lake la Baho (kuishi).

Get the SBS Audio app

Other ways to listen

Onesho la hadithi za wahanga wa mauaji ya 1994 nchini Rwanda, lime zinduliwa katika jumba la sanaa mjini Sydney, Australia.


Kazi hiyo ilifanywa kwa ushirikiano kati ya mashirika ya Thinkerbell na Kumva & Kwibuka, ambayo yali shirikiana kuandaa maonyesho ya ustahimilivu kupitia picha na video.

Bw JP Amedee ni mmoja wa waandaaji wa onesho hilo, katika mazungumzo na SBS Swahili alifunguka kuhusu lengo na matarajio ya shirika lake kupitia onesho hilo.

Anwani ya onesho hilo ni 107 Redfern Street, Redfern NSW 2016, na kwa taarifa zaidi kuhusu shirika la Kunva & Kwibuka bofya hapa: www.kumkwi.org

Share